Monday 16 December 2013

* DHIBITI CHUNUSI KWA VITUNGUU SWAUMU *


MAHITAJI
Kipisi kimoja cha kitunguu swaumu.

MAELEKEZO
• Menya na kata kitunguu chako katika vipande viwili.
• Sugua kipande kimoja juu ya chunusi zako.
• Subiri kwa dakika tano kisha osha uso wako kwa maji vuguvugu.
• Rudia tiba hii mara kadhaa katika siku.

**Kula kipisi kimoja cha kitunguu swaumu kwa siku husaidia kusafisha damu.

***Kula vitunguu hivi kwa wingi huweza kukusababishia maumivu ya tumbo.





ALSO LIKE US>>> OFFICIAL SIRI YA UREMBO

No comments:

Post a Comment