Tuesday 3 December 2013

STIMINGI YA ASALI,LIMAU & MAFUTA YA MZEITUNI (ALIZE)



Kwa nywele zenye na zisizo na dawa!



1)   Katika kikombe kidogo cha chai weka mchanganyiko sawa wa asali na mafuta ya mzeıtuni kisha nyunyuzia ndimu moja.

2)   Changanya mchanganyiko wako vizuri.




3)   Baada ya kuosha na kupaka kondishna nywele zako, zikaushe kidogo.

4)   Paka mchanganyiko wako kwneye ngozi ya kichwa, kisha usambaze kwenye kwenye kichwa kizima.





5)    Vaa kofia ya plastiki, kasha zungushia taulo lenye unyevu juu yake na subiri kwa dakika 30.



6)   Osha nywele zako kwa maji ya uvuguvugu, zikaushe kisha chana mtindo uupendao!!



UKIJIFUNZA; MFUNDISHE NA MWENZAKO :)

For 100% Brazilian Hair and more call / whatsapp 0714 319677 (Only whatsapp +905310868558); like us >>> OFFICIAL SIRI YA UREMBO

No comments:

Post a Comment